Mkurugenzi
Mkuu wa Kampuni ya mkonge, Katani Limited Bwana Salum Shamte
akimwonesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete baadhi ya bidhaa
zinazozalishwa kwa kutumia zao la Mkonge wakati Rais alipotembelea na
kukagua shamba la Mkonge huko kijiji cha Mwelya, wilaya ya Korogwe
vijijini jana.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi hati miliki ya shamba mkulima
mdogo wa mkonge Bi.Saada Khamisi Madibo katika hafla fupi iliyofanyika
wakati Rais alipotembelea na kukagua shmba la Mkonge katika kijiji cha
Mwelya,Wilaya ya korogwe jana.Jumla ya wakulima wadogo sita
walikabidhiwa hati miliki za mashamba yao wakati wa hafla hiyo.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Bi.Irene Mchomvu baada ya kuibuka
mkulima bora wa Mkonge katika hafla iliyofanyika katika Shamba la
mkonge huko Mwelya,wiklaya ya korogwe jana.
(picha na Freddy Maro)
Rais Kikwete akagua Shamba la Mkonge Mwelya Korogwe
Reviewed by
crispaseve
on
12:15 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment