Header Ads

Rais Kikwete akagua Shamba la Mkonge Mwelya Korogwe


D92A7597 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya mkonge, Katani Limited Bwana Salum Shamte akimwonesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete baadhi ya bidhaa zinazozalishwa kwa kutumia zao la Mkonge wakati Rais alipotembelea na kukagua shamba la Mkonge huko kijiji cha Mwelya, wilaya ya Korogwe vijijini jana.D92A7659 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi hati miliki ya shamba mkulima mdogo wa mkonge Bi.Saada Khamisi Madibo katika hafla fupi iliyofanyika wakati Rais alipotembelea na kukagua shmba la Mkonge katika kijiji cha Mwelya,Wilaya ya korogwe jana.Jumla ya wakulima wadogo sita walikabidhiwa hati miliki za mashamba yao wakati wa hafla hiyo.D92A7669Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Bi.Irene Mchomvu baada ya kuibuka mkulima bora wa Mkonge katika hafla iliyofanyika katika Shamba la mkonge huko Mwelya,wiklaya ya korogwe jana.  
(picha na Freddy Maro)

No comments:

Powered by Blogger.