Header Ads

Picha na Taarifa:Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimefanikiwa kusajili miradi 9,442 tangu kuanzishwa kwake hadi 2013.


 Meneja Uhusiano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Pendo Gondwe, akizungumza na kituo cha Tv1 baada ya mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo kwenye ukumbi wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.
 
  Meneja Uhamasishaji wa Uhamaishaji wa kituo hicho John Mnali akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya kituo hicho katika kuhamasisha uwekezaji wa ndani leo kwenye ukumbi wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)Pendo Gondwe. 

No comments:

Powered by Blogger.