Header Ads

Picha Kutoka Jeshi la Polisi Nchini:Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi idara ya Polisi Wafanyika Mjini Morogoro



 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akikaribishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini  IGP Ernest Mangu kwenye ufunguzi wa  wa Mkutano baraza la wafanyakazi idara ya  Jeshi la Polisi
  Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akisalimiana na Mwenyekiti wa Tughe  Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Alcado Nchinga jana mjini Morogoro alipokua akiwasili  kwenye ufunguzi wa Mkutano baraza la wafanyakazi idara ya  Jeshi la Polisi.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akiwasili na Mwenyekiti wa Tughe  Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Alcado Nchinga jana mjini Morogoro kwenye ufunguzi  wa Mkutano baraza la wafanyakazi idara ya Jeshi la Polisi.
Maofisa wakuu wa Jeshi la Polisi wakiimba wimbo wa “Solidarity Forever” jana mjini  Morogoro wakatiwa ufunguzi wa mkutano wa baraza la wafanyakazi idara  ya Polisi.

No comments:

Powered by Blogger.