
Kinana
akitoka katika ofisi ya CCM wilaya ya Temeke baada ya kuzungumza na
Kamati ya Siasa ya Wilaya hiyo, Wapili ni Mtemvu na kulia ni Mkt CCM
Dsm, Ramadhani Madabida

Kinana akivishwa skavu baada ya kuwasili Ofisi ya CCM Temeke

Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Kigamboni Dk.
Faustine Ndungulile, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Temeke
kwa ajili ya kuanza ziara katika wilaya hiyo leo ikiwa ni siku ya pili
ya ziara yake ya siku nne mkoani Dar es Salaam. Wapili ni Mbunge wa
Temeke Abbas Mtemvu.

Kinana
na Madabida wakiwa katika bodaboda ya mwanachama wa VICOBA wakati
Kinana, alipokuwa akienda kwenye mkutano wake na Vicoba Temeke katika
ukumbi wa Kata ya 15 Pub, Temeke

Mtemvu katika bodaboda wakati wa kwenda kwenye kikao hicho na Vicoba wa Temeke

Kinana
akishuka katika bodaboda baada ya kufika kwenye ukumbi wa Kata ya 15
Pub, kwenye mkutano na Vicoba Temeke. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa
Dar es Salaam. Ramadhani Maadabiba.
No comments:
Post a Comment