Header Ads


   Kinana akitoka katika ofisi ya CCM wilaya ya Temeke baada ya kuzungumza na Kamati ya Siasa ya Wilaya hiyo, Wapili ni Mtemvu na kulia ni Mkt CCM Dsm, Ramadhani Madabida
   Kinana akivishwa skavu baada ya kuwasili Ofisi ya CCM Temeke
   Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Kigamboni Dk. Faustine Ndungulile, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Temeke kwa ajili ya kuanza ziara katika wilaya hiyo leo ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya siku nne mkoani Dar es Salaam. Wapili ni Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu.
   Kinana na Madabida wakiwa katika bodaboda ya mwanachama wa VICOBA wakati Kinana, alipokuwa akienda kwenye mkutano wake na Vicoba Temeke katika ukumbi wa Kata ya 15 Pub, Temeke
   Mtemvu katika bodaboda wakati wa kwenda kwenye kikao hicho na Vicoba wa Temeke
   Kinana akishuka katika bodaboda baada ya kufika kwenye ukumbi wa Kata ya 15 Pub, kwenye mkutano na Vicoba Temeke. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam. Ramadhani Maadabiba. 

No comments:

Powered by Blogger.