Header Ads

NAPE NNAUYE AMNADI RIDHIWANI KIKWETE KATIKA KATA YA KIWANGWA CHALINZE

1Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi  CCM akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze Bw. Ridhiwani Kikwete katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Kiwangwa , Ridhiwani Kikwete amewaomba kura wananchi hao kumpigia kura itakapofika Aprili 6 mwaka huu katika uchaguzi wa kuziba pengo la aliyekuwa mbunge wa jimbo la Cha;inze marehemu Said Bwanamdogo aliyefariki hivi karibuni, mkutano  huo umehudhuriwa na maelfu ya wananchina wanaume kwa wanawake vijana kwa wazee.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-KIWANGWA -CHALINZE)

No comments:

Powered by Blogger.