MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
rasmi katika sherehe ya maadhimisho siku ya wanawake duniani
iliyondaliwa na Phenomenal Women Group, Mama Regina Lowassa akikata keki
kuashiria ufunguzi rasmi wa kikundi
hicho,Hafla iliyofanyika jana Machi 8/2014 katika ukumbi wa World Garden
Moshono jijini Arusha, ambapo kampuni Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 ilishiriki kudhamini siku hiyo ya wanawake duniani.
Rasmi katika halfa ya siku ya Wanawake Duniani, Mama Regina Lowassa
akisoma hotuba huku akisisitiza wanawake kujitambua pamoja na kujikubali
hali itakayosaidia wao kushiriki katika maendeleo na kuchangia pato la
Taifa
No comments:
Post a Comment