Header Ads

MAMA REGINA LOWASSA AZINDUA KIKUNDI CHA PHENOMENAL WOMEN GROUP KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI






DSCF3003Mgeni
rasmi katika sherehe ya maadhimisho siku ya wanawake duniani 
iliyondaliwa na Phenomenal Women Group, Mama Regina Lowassa akikata keki
kuashiria ufunguzi rasmi wa kikundi
hicho,Hafla iliyofanyika jana Machi 8/2014 katika ukumbi wa World Garden
Moshono jijini Arusha, ambapo kampuni Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 ilishiriki kudhamini siku hiyo ya wanawake duniani.

DSCF3007Mgeni rasmi Mama Regina Lowassa akifungua chupa ya wine,kushoto kwake ni Mwenyekiti wa kikundi hicho Bi.Youthness Godfrey

DSCF2993Mgeni
Rasmi katika halfa ya siku ya Wanawake Duniani, Mama Regina Lowassa
akisoma hotuba huku akisisitiza wanawake kujitambua pamoja na kujikubali
hali itakayosaidia wao kushiriki katika maendeleo na kuchangia pato la
Taifa

DSCF2975Wageni waalikwa wakiangalia burudani kutoka kwa mwanamuziki Snura,
hayupo pichani.

DSCF2976Wakinamama wakionekana na nyuso za furaha katika hafla ya siku ya wanawake duniani.

No comments:

Powered by Blogger.