Header Ads

LUIZ BELLINI AFARIKI DUNIA



Hilderaldo Luiz Bellini enzi za uhai wake.
Nahodha wa kwanza kuipatia timu ya Taifa ya Brazil kombe la dunia mwaka 1958, Hilderaldo Luiz Bellini, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 83 kwa maradhi ya moyo!

No comments:

Powered by Blogger.