KUTOKA VODACOM: VODACOM TANZANIA YATOA MSAADA YA MIAVULI 20 KWA JESHI LA USALAMA BARABARANI

Askari wa usalama barabarani
Tumaini Kimambo akiambatana na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom
Tanzania,Matina Nkurlu,kuhifadhi miamvuli 20 iliyotolewa msaada na Vodacom
Tanzania kwaajili ya kuwawezesha askari wa usalama barabarani kujikinga na mvua
wakiwa katika maeneo ya kazi,Hafla hiyo ilifanyika katika kituo cha Polisi
Oysterbay jijini Dar es Salaam mwishoni
mwa wiki.
Menaja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu(kushoto)akifungua
mmoja ya miamvuli(20)kabla ya kuikabidhi rasmi kwa Mkaguzi Msaidi wa usalama
barabarani kanda ya Kinondoni ,Byego Marwa(kulia) msaada huo utawawezesha
askari wa usalama barabarani kujikinga na mvua wakiwa katika maeneo ya kazi. Hafla
hiyo ilifanyika katika kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam mwishoni
mwa wiki.
Mkaguzi Msaidi wa usalama
barabarani kanda ya Kinondoni ,Byego Marwa
akipokea msaada wa miamvuli(20)kutoka kwa Menaja Uhusiano wa Umma
wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,
msaada huo utawawezesha askari wa usalama barabarani kujikinga na mvua wakiwa katika
maeneo ya kazi,wanaoshuhudia wa pili kutoka kulia ni Tumaini Kimaro, Simoni Lugangila na Emmanuel David.
Hafla hiyo ilifanyika katika kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam
mwishoni mwa wiki.
Menaja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw. Matina Nkurlu(kushoto)akiongea
mara baada ya kukabidhi msaada ya miamvuli(20)kwa Mkaguzi Msaidi wa usalama
barabarani kanda ya Kinondoni ,Byego Marwa(kulia) msaada huo utawawezesha
askari wa usalama barabarani kujikinga na mvua wakiwa katika maeneo ya kazi. Hafla
hiyo ilifanyika katika kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam mwishoni
mwa wiki.
Mkaguzi Msaidi wa
usalama barabarani kanda ya Kinondoni ,Byego Marwa akipokea msaada wa miamvuli(20)kutoka kwa
Menaja Uhusiano wa Umma wa Vodacom
Tanzania Matina Nkurlu, msaada huo utawawezesha askari wa usalama barabarani
kujikinga na mvua wakiwa katika maeneo ya kazi,wanaoshuhudia wa pili kutoka
kulia ni Tumaini Kimaro, Simoni
Lugangila na Emmanuel David. Hafla hiyo ilifanyika katika kituo cha Polisi
Oysterbay jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
No comments:
Post a Comment