Header Ads

Takwimu zinaonyesha kwamba kwa sasa asilimia 36% (kutoka asilimia 10% ya mwaka 2005)kwa Tanzania Bara wanaopata umeme ni asilimia 36% na asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme hivi kutoka asilimia 2% ya mwaka 2005.Tayari tumevuka malengo ya CCM na ya Serikali


Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo
 Takwimu zinaonyesha kwamba  kwa sasa asilimia 36% (kutoka asilimia ile 10% ya mwaka 2005)kwa Tanzania Bara wanaopata umeme ni asilimia 36%  na asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme kutoka hivi sasa kutoka asilimia 2% mwaka 2005.Tayari imevuka malengo ya CCM na ya Serikali ya asilimia 24% wameunganishwa.
Tuendelee kuchapa kazi kwa kasi na ubunifu mkubwa.
Waziri wa Nishati na Madini 
Profesa Sospeter Muhongo

No comments:

Powered by Blogger.