Takwimu zinaonyesha kwamba kwa sasa asilimia 36% (kutoka asilimia 10% ya mwaka 2005)kwa Tanzania Bara wanaopata umeme ni asilimia 36% na asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme hivi kutoka asilimia 2% ya mwaka 2005.Tayari tumevuka malengo ya CCM na ya Serikali

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo
Takwimu
zinaonyesha kwamba kwa sasa asilimia 36% (kutoka asilimia ile 10% ya
mwaka 2005)kwa Tanzania Bara wanaopata umeme ni asilimia 36% na
asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme kutoka hivi sasa
kutoka asilimia 2% mwaka 2005.Tayari imevuka malengo ya CCM na ya
Serikali ya asilimia 24% wameunganishwa.
Tuendelee kuchapa kazi kwa kasi na ubunifu mkubwa.
Tuendelee kuchapa kazi kwa kasi na ubunifu mkubwa.
Waziri wa Nishati na Madini
Profesa Sospeter Muhongo
No comments:
Post a Comment