mshindi wa jimbo la kalenga Godfrey Mgimwa akiwa na mke wake Robby Mgimwa wakifurahia hati aliyokabidhiwa ya kuwa mbunge.
Godfrey
Mgimwa akiwa anafurahia ushindi katikati Mwenyekiti wa ccm mkoa wa
Iringa Jesca Msambatavangu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Iringa vijiji
mama Mtavilalo.
No comments:
Post a Comment