Header Ads

HAIJAWAHI KUTOKEA, DUNIA YATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA NELSON MANDELA NCHINI AFRIKA KUSINI.

Tribute: Military officers carry the coffin of former president Nelson Mandela into the Union Buildings in the South African capital Pretoria, the seat of government where he will lie in state for three days

Pichani ni Wanajeshi wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Nelson Mandela  wakisonga hatua kwa hatua kuelekea  katika Majengo ya Muungano eneo alikoapishwa kuwa rais wa kwanza mzalendo wa Afrika kusini 1994.
Distraught: The British model was overcome with emotion at the site in Pretoria where Mandela's body is on display
Tears: Naomi Campbell, whom Mandela described as a 'granddaughter' to him, wept as she visited the casket
Mwanamitindo maarum wa Marekani, Naomi CampBel alishindwa kujizuia baada ya kumwaga machozi wakati akiuaga mwili wa Nelson Mandela.
Viongozi mbali mbali pamoja na raia wa Afrika Kusini wanaendelea kutoa heshma za mwisho kwenye mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini Marehemu Nelson Mandela ambao umelazwa kwenye ikulu ya Afrika Kusini mji Mkuu wa Pretoria, ambapo utalala hapo kwa siku tatu.
Mwili ulichukuliwa katika msafara kutoka chumba cha maiti cha hosptali hadi kwenye jengo la Muungano.
Msafara wenye jeneza la Marehemu uliondoka mjini katika Hosptali ya jeshi muda mfupi siku ya jumatano. Jeneza lilibebwa kwenye gari maalum na kufunikwa bendera ya Afrika Kusini.
Wananchi walijipanga kando kando ya barabara lilipopitishwa jeneza kama ishara ya kutoa heshma za mwisho kwa mwili wa marehemu.
Msafara ulipita katika mitaa huku baadhi ya raia wakikimbia pembeni kwenye mstari wa askari wa wanajeshi Mwandishi BBC’s Joseph Winter katika mji wa Pretoria amesema.
Wanajeshi waliobeba jeneza hilo walisonga hatua kwa hatua hadi katika Majengo ya Muungano eneo alikoapishwa kuwa rais wa kwanza mzalendo wa Afrika kusini 1994.
Wanachi, wakuu wa nchi walioalikwa na wageni wengine wa kimataifa watapata nafasi ya kutoa heshima za mwisho kwenye mwili wa marehemu aliyefariki alhamisi akiwa na umri wa miaka 95.
Wageni hata hivyo hawaruhusiwa kupiga picha.
Leo jioni wasanii mbali mbali wa Afrika Kusini watashiriki katika tamasha maalum la kumuenzi Mandela na ambalo wananchji wataruhusiwa kuhudhuria bila malipo.
Marehemu Mandela atazikwa nyumbani kwake katika kijiji Qunu katika jimbo la Cape Mashariki siku ya jumapili.
Maelfu ya raia wa Afrika ya kusini hapa jana waliungana na viongozi mbali mbali duniani katika ibada ya kumbu kumbu siku ya jumanne kama sehemu ya mfululizo wa maombolezo kifo chicho.
Sombre: Bono went to pay his respects to the late leader along with his wife Ali Hewson, left, and Mandela's former assistant Zelda le Grange, right
Solemn: The casket will lie in state at the Union Buildings until Mandela is buried at a funeral on Sunday
Moved: Jacob Zuma, South Africa's current president, was joined by Mandela's widow Graca Michel, dressed in black, at the site
Rais wa sasa wa afrika Kusini, Jacob Zuma akiwa ameambatana na mjane wa Mzee Mandela Graca Michael aliyevalia gauni jeusi wakielekea kutoa heshima za mwisho.
Grief: Winnie Mandela was dressed in black as she went to see the casket of her ex-husband
Winnie Mandela akilia kwa uchungu wakati akiutazama mwili wa aliyekuwa mume wake, Nelson mandela ukiwa katika Jeneza.
Bowing: Mr Zuma leans down in respect as he views Mandela at the Union Buildings
Jacob Zuma akitoa heshima zake za mwisho .
Controversial: Zimbabwean dictator Robert Mugabe also joined the crowds at the viewing
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe akielekea kutoa heshima za mwisho.
Citizens stood on top of bollards and clamoured to film the historic passing of the cortege on their smartphones
Emotional: Thousands of South Africans waved and paid their respects to their first black president
Cortege: The body of Nelson Mandela is driven through the streets of the capital Pretoria this morning
Hitching a lift: A man carries his daughter on his shoulders as he joins the crowds going to look at Mandela's body
Onlookers waited for hours. One told Sky News: 'We loved that man. He fought for us to be here'
Cheers: A group of women show their support for Mandela from behind a security barrier as the cortege passes

No comments:

Powered by Blogger.