Taarifa ya Habari Kutoka ITV: Watu 16 wanaosadikika kuwa wahamiaji haramu kutoka nchini Ethiopia, waliokua katika harakati za kusafirishwa kwenda Afrika kusini wametiwa mbaroni na jeshi la polisi kanda maalum ya Dar-es-Salaam eneo la Makongo juu manispaa ya Kinondoni
 
              Reviewed by 
crispaseve
              on 
              
9:43 PM
 
              Rating: 
5
 
               
            
 
 
 
 
            
          
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment