RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA SEKTA YA AFYA IKULU, APOKEA CHETI CHAKE CHA UDAKTARI WA MUHASRAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA SEKTA YA AFYA IKULU, APOKEA CHETI CHAKE CHA UDAKTARI WA MUHAS
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa Makamu Mkuu wa Chuo cha Afya
na Sayansi Shirikishi Muhimbili Prof. Ephata Kaaya Cheti cha Udaktari wa
Public Health (Honoris Causa), kufuatia Shahada aliyotunukiwa na Chuo
hicho mwaka 2010 kwa Kutambua mchango wa Rais Kikwete katika kuendeleza
Sekta ya Afya nchini. Sherehe hiyo fupi ilifanyika leo Novermba 23,
2012 Ikulu jijini Dar es salaam.
Makamu
Mkuu wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili Prof. Ephata
Kaaya akisoma risala kabla ya kumkabidhi Rais Kikwete Cheti cha Udaktari
wa Public Health (Honoris Causa), kufuatia Shahada aliyotunukiwa na
Chuo Desemba mwaka 2010 kwa Kutambua mchango wa Rais Kikwete katika
kuendeleza Sekta ya Afya nchini leo Novermba 23, 2012 Ikulu jijini Dar
es salaam..
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya kumbukumbu na Waziri wa Ardhi
Prof Anna Tibaijuka, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Hussein
Mwinyi na viongozi wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili
baada ya kukabidhiwa Cheti cha Udaktari wa Public Health (Honoris
Causa), kufuatia Shahada aliyotunukiwa na Chuo hicho mwaka 2010 kwa
Kutambua mchango wa Rais Kikwete katika kuendeleza Sekta ya Afya nchini
leo Novermba 23, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa
Kampasi ya Afya ya Chuo Kikuu cha Dodoma kutoka kwa Mkurugenzi wa Mfuko
wa Afya ya Jamii (National Health Insurance Fund) NHIF Bw. Emmanuel
Humba leo Novemba 23, Ikulu jijini Dar es salaam .
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya kumbukumbu baada ya kupata
maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa Kampasi ya Afya ya Chuo Kikuu cha
Dodoma kutoka kwa Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (National Health
Insurance Fund) NHIF Bw. Emmanuel Humba leo Novemba 23, Ikulu jijini Dar
es salaam.
No comments:
Post a Comment