Header Ads

MSUNGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UMAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Peter Msungu (kushoto) akikabidhiwa na Mkuu wa Idara ya Organaizesheni na Siasa wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sophia Duma, fomu ya maombi ya kugombea umakamu mwenyekiti wa UVCCM-Taifa, katika Makao Makuu ya umoja huo, Dar es Salaam leo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

No comments:

Powered by Blogger.