MAOFISA MICHEZO WATANO WAENDA MAFUNZONI INDIA
Kaimu Balozi wa India nchini, Hemalatha Burgimath (kulia) akimkabidhi nyaraka za kusafiria Neema Msita ambaye ni miongoni mwa maofisa michezo watano wanaokwenda nchini India kujifunza program mbalimbali za Michezo. Makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya Ubalozi wa India, Dar es salaam na kushuhudiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juliana Yasoda (katikati). (PICHA NA ARON MSIGWA)
No comments:
Post a Comment