DK KAWAMBWA AZINDUA KAMPENI YA TIGOTUCHANGE
Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, dkt, Shukulu Kawambwa akikata utepe
kuashiria Uzinduzi wa Kampeni ya tigo tuchange leo kulia ni Meneja Mkuu
Msaidizi wa Kampuni ya Tigo,Diego Gutierrez na Mwakilishi wa Hassan
Majaar Trust, Zena Tenga
Baadhi ya waandamanaji waliojitokeza katika Kampeni ya Tigo Tuchange itakayoanza saa 5 mpaka 6 kwa kutumia tigo rusha pesa zote zitakazopatikana kwa mda huo zitanunua madawati kwa wanafunzi wa Tanzania. Maandamano hayo yalifanyika Ubungo, Dar es Salaam. (NA MPIGAPICHA WETU)
Baadhi ya waandamanaji waliojitokeza katika Kampeni ya Tigo Tuchange itakayoanza saa 5 mpaka 6 kwa kutumia tigo rusha pesa zote zitakazopatikana kwa mda huo zitanunua madawati kwa wanafunzi wa Tanzania. Maandamano hayo yalifanyika Ubungo, Dar es Salaam. (NA MPIGAPICHA WETU)
No comments:
Post a Comment