MVUA ILIYONYESHA JANA MAENEO YA IYUNGA MBEYA YAHARIBU BARABARA NA MIUNDO MBINU YA MAJI
| Hii ni barabara ya kata ya kalobe jijini mbeya maji ya mvua yakiwa yanapita juu ya barbara hiyo huku magari yakisubiri kupungua wa kasi ya maji hayo ili yaweze kupita |
| Hizi ni nyumba ambazo zipo pembezoni mwa mto kalobe zikiwa hatarini kukumbwa na mafuriko wakati wowote |
| Nyumba hii ipo hatarini muda wowote kukumbwa na mafuriko. CHANZO;MBEYA YETU BLOG |
| Bomba la maji safi likiwa limekatika baada ya kuangukiwa na moja ya kuta za nyumba zilizojengwa pembezoni mwa mto huo |
No comments:
Post a Comment