Mwenyekiti
wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima y Afya Deogratius Ntunkamazina
akisisitiza umuhimu wa kuutumia Mfuko huo kwa manufaa ya Watanzania
wote kwenye Mkutano wa wadau uliofanyika mkoani Lindi.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo Emanuel Humba akieleza mambo mbalimbali ya Mfuko huo kwa wadau wake.
Wadau wakifuatlia maenelezo ya Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF
Kikundi cha waendesha pikipiki wakiwa wamesimama wakisubiri kupokea kadi zao za matibabu.(PICHA ZOTE NA GRACE MICHAEL)
Reviewed by
crispaseve
on
7:21 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment