Home Clouds FM Live post-feature-image Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimwonyesha orodha ya makontena 349 yenye kodi ya serikali ya thamani ya shilingi bilioni 80 yaliyotoka kwenye bandari ya Dar es salaam bila kulipiwa kondi, Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania , Rished Bade
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akimwonyesha orodha ya
makontena 349 yenye kodi ya serikali ya thamani ya shilingi bilioni 80
yaliyotoka kwenye bandari ya Dar es salaam bila kulipiwa kondi,
Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania , Rished Bade wakati
alipotaka maelezo kuhusu upotevu wa makontena hayo, bandarini jijini
Dar es slaam Novemba 27, 2015.

Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akimkabidhi Kamishina
Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade orodha ya
makontena 349 yenye kodi ya serikali ya thamani ya shilingi bilioni
800 yalitoka kwenye bandari ya Dar es salaam bila kulipiwa kodi.
Mheshimiwa Majaliwa alikwenda kwenye bandari ya Dar es salaam Novemba
27, 2015 kutaka maelezo kuhusu kupotea kwa makontena hayo.Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu
|
|
|

No comments:
Post a Comment