ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDANI YA VISIWA VYA UKEREWE

Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa
Kakukuru,Ukerewe ikiwa siku ya mwisho ya ziara yake mkoani Mwanza.
Katibu
Mkuu amekamilisha ziara ya kutembelea majimbo yote ya Uchaguzi nchi
nzima ambapo amejionea utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi unavyooendelea
pamoja na uhai wa Chama Cha Mapinduzi.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo akihutubia wakazi wa Kakukuru wilayani Ukerewe.

Wakazi
wa Kakukuru ,Ukerewe wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman
Kinana kabla ya kuzindua shina la wakereketwa wa CCM Kakukuru.

Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipandisha bendera ya Chama
wakati wa uzinduzi wa shina la wakereketwa Kakukuru wilayani Ukerewe.

Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo ya maendeleo ya
mradi wa maji Kazilankanda uliopo kijiji cha Chabilungo ,Ukerewe
utakaonufaisha vijiji 13 kutoka kwa msimamizi wa mradi Revocatus
Migarambo .
No comments:
Post a Comment