WIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA RASMI BALOZI WA UBELGIJI ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
| Balozi
Koeler pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara
ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Joseph Sokoine
wakimskiliza Balozi Kasyanju wakati wa hafla fupi ya kumuaga Balozi
Koeler. |
| Balozi Koeler nae akizungumza wakati wa hafla ya kumuaga. Katika hotuba yake Balozi huyo aliishukuru Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano alioupata katika kipindi chote alichokuwepo hapa nchini na kusifu ukarimu wa Watanzania. |
No comments:
Post a Comment