NMB YATOA MSAADA WA MADAWATI 570
Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Mwanza Bw. Paulo Mzindakaya
, akimpa mkono wa shukurani Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB Bw. Waziri
Barnabas(kulia), baada ya kukabidhi
madawati 240 yenye thamani ya shilingi milioni .... yaliyotolewa na
benki ya NMB ukiwa ni msaada kwa Shule
za Msingi Nyashimo na Nasa Wilayani Busega pamoja na Sukuma na Simakitongo
Wilaya ya Magu ili kupunguza uhaba wa madawati katika shule hizo. Kila shule
imepata madawati sitini.
Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mkoani Mara Bw. Zelothe Stephen , akimpa
mkono wa shukurani Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB Bw. Waziri Barnabas(kushoto),
baada ya kukabidhi madawati 330 yaliyotolewa na benki ya NMB ukiwa ni
msaada kwa Shule za Msingi Bwai, Kiriba, Chanyahuru na Busumi pamoja na
shule ya Sekondari Kiriba zilizopo Musoma vijijini ili kupunguza uhaba wa
madawati katika shule hizo. Kila shule imepata madawati hamsini na tano.



No comments:
Post a Comment