Header Ads

WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA NCHI ZA BONDE LA MTO NILE

5
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa nchi za bonde la  mto Nile kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
  34
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  wakati alipofungua mkutano wao kwenye  Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.
1
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe (kushoto) wakimsikiliza Dkt. Mohsen Alarabawy  (kulia)   katika maonyesho yalikwenda sambamba  na Mkutano wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile  kwenye Kituo cha Mikutano cha Hoteli ya Saint Gaspa mjini Dodoma Juni4, 2015.
2
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe (kushoto) wakimsikiliza Nakaraga Juliet kutoka Uganda (kulia)  katika maonyesho yalikwenda sambamba  na Mkutano wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile  kwenye Kituo cha Mikutano cha Hoteli ya Saint Gaspa mjini Dodoma Juni4, 2015

No comments:

Powered by Blogger.