Safari
ya kuelekea kilele cha Uhuru,Mlima Kilimajaro ikianza kushika kasi.Na
Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
 |
| Baadhi
ya wafanyakazi wa Kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia,wanafamilia
pamoja na marafiki wa kampuni hiyo wakishuka kutoka katika gari tayari
kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro . |
 |
| Afisa
Mtendaji mkuu wa Kampuni ya Acacia,Brad Gordon akitelemka kuanza
changamoto ya kupanda mlima Kilimanjaro kama njia ya kuchangisha fedha
kwa ajili ya kusaidia sekta ya elimu nchini. |
|
No comments:
Post a Comment