Header Ads

TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA BWENI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NURU YA WILAYANI SIHA.

Bweni la wanafunzi lililojengwa kwa ufadhili wa hifadhi za taifa (TANAPA) katika shule ya sekndari Nuru wilayani Siha.
Kaimu mkurugenzi mkuu wa TANAPA,Ibrahim Musa akizungumza katika hafla hiyo juu ya dhana ya ujirani mwema inayofanywa na Shrika la Hifadhi za Taifa,(TANAPA) kwa jamii zinazozunguka hifadhi za taifa.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akikata utepe katika Bweni hilo .

No comments:

Powered by Blogger.