MHANDISI EDWIN NGONYANI ATEMBELEA MABANDA YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA UTUMISHI WA UMMA

Kaimu
Mkurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Mhandisi Edwin
Ngonyani (kushoto) akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la Wizara ya
Nishati na Madini.
Mtaalam
kutoka Kituo cha Jimolojia Tanzania (TGC), Jumanne Shimba ( wa kwanza
kulia) akimwonesha Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa
(STAMICO) Mhandisi Edwin Ngonyani (katikati) moja ya bidhaa
zinazotengenezwa na kituo hicho, kwenye banda la Wizara ya Nishati na
Madini
Afisa
Uhusiano kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini Nchini (TMAA), Yisambi
Shiwa (kulia) akieleza shughuli zinazofanywa na wakala huo kwa Kaimu
Mkurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Mhandisi Edwin
Ngonyani (Kushoto) mara alipotembelea banda la wakala huo. Katikati ni
Omari Rwakyaya kutoka wakala huo.
Kaimu
Afisa Masoko Mkuu kutoka makao makuu ya Shirika la Umeme Nchini
(TANESCO) (Katikati), Monica Massawe akitoa maelezo kwa Kaimu Mkurugenzi
wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Mhandisi Edwin Ngonyani
(Kushoto) mara alipotembelea banda la TANESCO. Kulia ni Afisa Uhusiano
Wateja –TANESCO Mkoa wa Illala, Lucas Kusare.
Mtaalam
kutoka Idara ya Nishati – Wizara ya Nishati na Madini, Jacob Mayala
(Kulia) akimweleza Abdul Naseka (Kushoto) majukumu ya Idara ya Nishati
kwenye maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika
viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Kaimu
Mkurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Mhandisi Edwin
Ngonyani (katikati aliyevaa suti) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi
ya washiriki wa maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kutoka Wizara ya
Nishati na Madini.
No comments:
Post a Comment