URITHI WA UTAMADUNI WAELEZWA KUWA KIVUTIO MUHIMU CHA UTALII NCHINI
Mkurugenzi
Uendeshaji na Utumishi wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo
Joseph Kilangi akitoa hutuba yake ya ufunguzi katika Semina ya
majadiliano ya “Rasimu ya Sera ya Urithi wa Utamaduni” iliyofanyika
Forodhani Mjini Zanzibar,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Uendeshaji na
Utumishi, Sera na Utafiti wa Wizara hiyo na kushoto ni Mkurugenzi wa
Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Dkt. Amina Ameir Issa.
Proff
Shariff Mtaalamu wa Historia akitoa mchango wake katika Semina ya
majadiliano ya ‘Rasimu ya Sera ya Urithi wa Utamaduni’ iliyofanyika
Forodhani Mjini Zanzibar.
Mwalimu
wa Historia Chuo Kikuu cha Taifa Suza Bi Zainab Othman akitoa mawazo ya
kuiboresha Rasimu hiyo katika Semina ya kuijadili ‘Rasimu ya Sera ya
Urithi wa Utamaduni’ Semina hiyo iliyofanyika Forodhani Mjini Zanzibar.
Mjumbe
kutoka Jumuiya ya Uokozi Zanzibar Omar Kombo akiijadili ‘Rasimu ya Sera
ya Urithi wa Utamaduni’ katika Semina iliyofanyika Forodhani Mjini
Zanzibar. Semina hiyo ya Siku mbili imefanyika kwa lengo la kupata maoni
tofauti kutoka kwa Wadau mbalimbali nchini. Picha na Faki Mjaka-Maelezo
Zanzibar.
Mkurugenzi
wa Sanaa Zanzibar Mdungi Ussi akichangia Rasimu ya Sera ya Urithi wa
Utamaduni ambapo pamoja na mambo mengine ameshauri Sera hiyo
isiingiliane na Sera zingine.Picha na Faki Mjaka
Mkurugenzi
wa Idara ya Makumbusho na mambo ya kale Dkt Amina Ameir Issa
akiwashukuru Washiriki kwa michango yao katika Semina ya Majadiliano ya
Rasimu ya Sera ya Urithi wa Utamaduni iliyofanyika Forodhani mjini
Zanzibar,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Uendeshaji, Sera na Utafiti wa
Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Mashaka Hassan
Mwita na kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Magofu Zanzibar Abdallah Khamis
Magofu-Picha na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Mkurugenzi
wa Uendeshaji, Sera na Utafiti wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na
Michezo Zanzibar Mashaka Hassan Mwita katikati akifunga Semina ya
Majadiliano ya Rasimu ya Sera ya Urithi wa Utamaduni iliyofanyika
Forodhani mjini Zanzibar,kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya
Makumbusho na Mambo ya kale Dkt Amina Ameir Issa na kulia ni Makamu
Mwenyekiti ZATO Hassan Ali Mzee.
No comments:
Post a Comment