Header Ads

DKT. MWAKYEMBE AFUNGUA KONGAMANO LA VYOMBO VYA HABARI DAR

3
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Harrison Mwakyembe akifungua kongamano la siku mbili mapema hii leo jijini Dar es Salaam linalotathmini mchango wa vyombo vya habari katika kukuza demokrasia katika ukanda wa Afrika Mashariki.
7
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akisikiliza kwa makini michango mbalimbali ya wadau wa habari wakati wa kongamano la siku mbili mapema hii leo jijini Dar es Salaam linalotathmini mchango wa vyombo vya habari katika kukuza demokrasia katika ukanda wa Afrika Mashariki, kushoto ni Katibu wa bunge la Afrika Mashariki Balozi Dkt. Richard Sezibera na kulia.
4
Baadhi ya Mabalozi na wadau wa habari wakimfuatilia kwa makini Waziri wa Ushirikianno wa Afrika Mashariki Dkt. Harrison Mwakyembe wakati akifungua kongamano la siku mbili mapema hii leo jijini Dar es Salaam linalotathmini mchango wa vyombo vya habari katika kukuza demokrasia katika ukanda wa Afrika Mashariki.
8
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Harrison Mwakyembe ( mwenye tai ya njano mbele) akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wa habari wakati wa wa kongamano la siku mbili mapema hii leo jijini Dar es Salaam linalotathmini mchango wa vyombo vya habari katika kukuza demokrasia katika ukanda wa Afrika Mashariki, kushoto ni Katibu wa bunge la Afrika Mashariki Balozi Dkt. Richard Sezibera na kulia.Picha zote na Eliphace Marwa – MAELEZO

No comments:

Powered by Blogger.