Mmoja wa watalii wa ndani ,Dkt Gaspaer
Mpehongwa ,(Kulia) akizungumza jambo na wageni wakati akiwaonesha moja
ya picha inayoonesha namna ambavyo volcano ilivyo ripuka na kutengenza
uwanda wa Shira.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda
ya Kaskazini.
 |
| Makamu mkuu wa Chuo kikuu cha Ushirika Prof,Faustine Bee akizungumza jambo kuhusu miamba iliyoko katika mapango hayo. |
 |
| Wafanyakazi
wa Benki ya CRDB tawi la Mwanga wakiongozwa na meneja wao ,Innocent
Silayo(wa pili toka kulia) wakishuka mara baada ya kutembelea vivutio
katika uwanda wa Shira. |
|
No comments:
Post a Comment