UN KUENDELEA KUISAIDIA TANZANIA KUTATAU CHANGAMOTO ZA MAENDELEO



Mgeni
rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dk. Servacius Likwelile (katikati)
akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya Hyatt Regency akiwa
ameambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi
na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo (kulia) pamoja na Mratibu Mkazi
wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez kwa ajili ya
kuzindua rasmi ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2014 Tanzania, uzinduzi
uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Nyuma yao ni
Mkurugenzi wa Programu kutoka Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii
nchini (ESRF), Dk. Tausi Kida.
No comments:
Post a Comment