TUZO YA HESHIMA KUTOLEWA KWA BABA WA TAIFA HAYATI JK NYERERE NA HAYATI NELSON MANDELA, JIJINI DAR

TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUZO YA JAMII ITAKAYOTOLEWA TAREHE 13 APRIL 2015
KATIKA UKUMBI WA JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE, JIJINI DAR ES
SALAAM
MGENI RASMI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dokta Jakaya Mrisho Kikwete
WAGENI
WAALIKWA:
Mara
baada ya Hafla ya Tuzo ya Jamii ambapo Washindi wote watapewa Tuzo na Mgeni
Rasmi, Kutakuwa na Dhifa ya Kitaifa ya Tuzo ya Jamii ambayo itahudhuriwa na
wageni wafuatao:
- Wapewa Tuzo,
- Familia za wapewa Tuzo,
- Viongozi Waandamizi wa Serikali,
- Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania,
- Viongozi wa vyama vya siasa na kijamii na Wafanyabiashara,
- Taasisi zisizo za kiserikali,
- Watu Mashuhuri na
- Wawakilishi kutoka makundi yenye mahitaji maalum ambapo kwa mwaka huu watawakilishwa na Watu wenye Ulemavu wa Ngozi-Albino
No comments:
Post a Comment