KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)
.jpg)
Makamu
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Profesa Juma Athumani
Kapuya akizungumza na watendaji wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhusu
utekelezaji wa ujenzi wa nyumba za Serikali, wakati walipotembelea
ofisi za Wakala jana jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Waziri wa
Ujenzi Dkt. John Magufuli.
.jpg)
hatua zilizochukuliwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).
.jpg)
Mtendaji
Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Arch. Elius Mwakalinga
akiongozana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu,
Prof. Juma Kapuya, wakati Kamati hiyo ilipotembelea nyumba za watumishi
wa Serikali eneo la Ada Estate jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment