Makamu
Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akihutubia Vijana wa Vyuo
vya Elimu ya juu kwenye kongamano la Vijana lililofanyika Mlimani City
jijini Dar Es Salaam.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia Vijana wa CCM kutoka
vyuo Vikuu mbalimbali kwenye Mkutano wa Kuadhimisha Kumbukumbu ya Baba
wa Taifa uliofanyika Mlimani City.
Nasra Khalfani akipokea kadi yake ya uanachama wa CCM
Vijana wakila kiapo cha uanachama wa CCM
Justin
Mushi akikabidhi kadi yake ya Chadema kwa makamu Mwenyekiti wa CCM
(Bara) Philip Mangula na kutangaza kujiunga rasmi CCM.
(Picha na Adam Mzee )
MANGULA, NAPE WAONGOZA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE YA VIJANA WA CCM VYUO VIKUU , LEO
Reviewed by
crispaseve
on
4:28 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment