VIJANA WEKENI MSISITIZO MASOMO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILI MUWE WAJUZI NA KULETA MAENDELEO NCHINI
Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu,
Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia Wajumbe waliohudhuria mkutano wa
Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es
Salaam.
Baadhi wa Wajumbe waliohudhuria
mkutano wa Jiolojia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mgeni
rasmi katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Wanasayansi Vijana wakifuatilia
mada wakati wa mkutano wa tatu
wa Wanasayansi Vijana Duniani wenye lengo la kuhakikisha kuwa vijana
wanashiriki vyema katika rasilimali za duniani kwa ajili ya maendeleo na ukuaji
wa uchumi thabiti. (Picha na Makala na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM)
No comments:
Post a Comment