Tanzania yaendelea kunufaika na uhusiano mwema ulipo baina yake na Taifa la China

Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji na Uwezeshaji Dkk. Mary Nagu
akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka
65 tangu kuanzishwa Jamhuri ya Watu wa China jana jijini Dar es Salaam.

:
Balozi wa China nchini Tanzania Balozi Lui Youqing akigonga glasi ya
mvinyo wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 65 tangu kuanzishwa Jamhuri
ya Watu wa China jana jijini Dar es Salaam.

Picha
ya Keki kwa ajili ya hafla ya maadhimisho ya miaka 65 tokea kuanzishwa
kwa Jamhuri ya Watu wa China hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es
Salaam.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu(Uwekezaji na Uwezeshaji) Dkt. Mary Nagu na Balozi wa China nchini Tanzania Balozi Lui Youqing wakikata Keki wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 65 tangu kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China jana jijini Dar es Salaam.

Balozi
wa China nchini Tanzania Balozi Lui Youqing (katikati) akiteta jambo na
baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kuadhimisha miaka 65 tokea
kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China jana jijini Dar es Salaam.
Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana na Afisa
anayeshughulikia masuala ya Menejimenti na Programu wa Aga Khana
Development Network Bw. Navroz Lakhani.,
No comments:
Post a Comment