RIHANNA AKATA MITAA NA KIVAZI CHA KULALIA
Mwanamuziki wa pop asiyehishiwa na vituko kila kukicha,
Robyn Fenty AKA Rihanna ametoa kioja kingine cha mwaka baada ya
kuonekana akikatiza mitaa ya jiji la New York juzi jumanne huku akiwa
ametinga vazi la kulalia maarufu kama nightdress, kitendo kilochoonekana
kuwavutia mapaparazi wengi na kutumia mwanya huo kumfotoa mapicha ya
kutosha. Mtazame Hapo Chini……




No comments:
Post a Comment