Header Ads

PICHA : DIAMOND PLATNUMZ APOKELEWA KWA SHANGWE JIJINI DAR

ChibuUsiku wa jana(Julai 10), Diamond Platnumz amethibitisha msemo usemao “Hakuna Mahala kama Nyumbani”   baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere akitokea nchini marekani katika ziara ya kimuziki na kukutana na sapraiz baab kubwa toka kwa ndugu, jamaa, marafiki na mashabiki  waliojitokeza kwa wingi uwanjani hapo kumpokea huku wakiwa wamebeba  mabango yakiwa na ujumbe wa kumkaribisha nyumbani. Tazama picha zaidi hapo chini
Mapokezi ya DiamondMashabiki wakiwa kwenye viunga vya uwanja wa ndege na mabango yao wakimsubiria Diamond
Mashabiki NaoDiamond JNIAMabangoDiamond Is Our HeroWe Love UMashabiki na MabangostMashabiki wa Diamond wakiwa na kiu ya kumuona shujaa wao
Hapa akihojiwaDiamond akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kutua  jijini Dar es salaam
Wema DangoteWema akiongoza msafari wa mashabiki kuelekea kumpokea Laaziz wake
DiamondEti! Nani amenuna?? Diamond na Wema wakisalimia kwa bashasha
Dangote    Diawema      Platnumz    Wema na EsmaWema na Wifi yake
Untitled
Diamond akisindikizwa na mashabiki kuelekea kwenye mkoko wake

No comments:

Powered by Blogger.