Soma Alichokisema ,Jaji Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani,juu ya mipaka ,bunge maalum la katiba

Jaji Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani
---
Jaji Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani, amesema Bunge Maalumu la Katiba linabanwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Kifungu cha 25 kufanya mabadiliko makubwa ya Rasimu ya Pili ya Katiba iliyofwasilishwa bungeni.
---
Jaji Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani, amesema Bunge Maalumu la Katiba linabanwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Kifungu cha 25 kufanya mabadiliko makubwa ya Rasimu ya Pili ya Katiba iliyofwasilishwa bungeni.
Akifungua mkutano mkuu wa Chama cha Wanasheria wa
Tanganyika(TLS) jana jijini hapa, Jaji Ramadhani, alisema hata hivyo
kutokana na malumbano ya kisheria yaliyoibuka sasa ni vyema wabunge wa
Bunge hilo wakaachiwa jukumu wenyewe kukipitia kifungu hicho cha 25, ili
kuona mamlaka yao.Kwa habari zaidi Bofya na Endelea......
No comments:
Post a Comment