Header Ads

Picha:Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa Azindua Rasmi Kampeni Za Ubunge Jimbo la Kalenga




 Picha Juu ni bango litakalo tumiwa kumuuza mgombea wa CHADEMA Bi Tendega Grace Mvanda kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi Machi 16, 2014 CHADEMA inataraji kuzindua kampeni zake jimboni Kalenga tarehe 22 Februari 2014.
 msafara wa CHADEMA ukiongozwa na katibu mkuu wa chadema Dk Wibrod Slaa Ukielekea kuzuru kaburi la Chief Mkwawa kabla ya kwenda kwenye mkutano wa hadhara ambapo viongozi na wanachama ambao walikuwa hawajawahi kufika hapo walipata baraka za wana ukoo wa chifu huyo aliyeandika historia mujarabu ya eneo hilo.

Mvua ni kubwa sana lakini watu wanavumilia mvua hiyo bila kujali huku wakionyesha mapenzi yao kwa chama chao na mbunge wao mtarijiwa anaye kwenda kuziondoa kero za wanakalenga zilizodumu kwa zaidi ya miaka 50 ya uhuru.Picha na Habari-Chadema
 ---
 Kama mnavyojua kuwa jana CHADEMA kilizindua kampeni zake kwenye Jimbo la Kalenga, uzinduzi utao ongozwa na katibu mkuu wa chama na nguli wa siasa za Tanzania Bwana Dr Wilbroad Slaa utakata utepe kusafisha njia ya kwenda kuchaguliwa Bi Grace Mvanda anayeeperusha bendera ya CHADEMA kwenye uchaguzi unao tarajiwa kufanyika tarehe 16 Machi 2014.

No comments:

Powered by Blogger.