Mkurugenzi
wa kiwanda cha kuzalisha unga kilichopo jijini Arusha Bw.Philemon
Mollel akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Hai Mh.Novatus Makunga msaada wa
Tani nne za unga wenye thamani ya shilingi Milioni 4.2,baada ya wilaya
yake kupata maafa yaliyotokana na mvu zilizoambatana na upepo mkali na
kusababisha badhii ya watu kukosa nyumba za kuishi
Mkurugenzi
wa kiwanda cha kuzalisha unga Arusha Philemon Mollel akiongea mbele ya
wanakijiji(hawapo pichani)namna alivyoguswa na maafa hayo yaliyopelekea
kutoa msaada huo huku kiwataka wafanyabishara,makampuni,watu binafsi
kujitokeza kuwasaidia waanga wa maafa hao,mbali na msaada huo wa tani
nne za unga pia alitoa shilingi Milioni moja kwaajili ya waanga.
Kina mama ambao ndio waathirika wa kubwa wa maafa hayo wakisubiria zoezi la kugawiwa chakula cha msaada
Mtendaji wa kijiji Bi.Trea Ramadhani akitoa shukrani zake za dhati kwa mmiliki wa kiwanda cha kuzalisha unga kilichipo Arusha.
Mkuu
wa wilaya Novatus Makunga akimkabidhi msaada uliotolewa na kampuni ya
Monaban ,mtendaji wa kijiji cha kwa sadala Bi.Trea Ramadhani msaada
uliogharimu zaidi ya milioni 4,Kushoto ni kaimu mkurugenzi Bw.Zabdieli
Moshi
Mkuu
wa wilaya ya Hai Mh.Novatus Makunga akitoa shukrani zake za dhati kwa
mmiliki wa kiwanda cha Monaban kwa kuweza kuwaletea chakula cha msaada
na kuwataka makampuni,mashirika na watu binafsi kuiga mfano wa Monaban
kwa kuwasaidia waanga wa maafa yaliyotokana na mvua zilizoambatana na
upepo mkali na kusababisha watu kukosa makazi hivi karibuni ktika wilaya
yake.
KAMPUNI YA MONABAN YAKABIDHI MSAADA WILAYA YA HAI KWA AJILI YA WAHANGA WA MAAFA
Reviewed by
crispaseve
on
8:23 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment