Header Ads

IGP MSTAAFU SAID MWEMA AAGWA RASMI POLISI BARRACKS, LEO JIJINI DAR


 IGP Mstaafu, Said Mwema akipokea Salaam ya heshima na utii iliyotolewa na Gwaride Maalum lililoandaliwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la Polisi(hawapo pichani) katika hafla fupi ya kumuaga rasmi kufuatia kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa kumjibu wa Sheria. Hafla hiyo imefanyika leo Februari 15, 2014 katika Viwanja vya Polisi barracks Jijini Dar es Salaam.
 IGP Mstaafu, Said Mwema akikagua Gwaride Maalum alililoandaliwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la Polisi katika hafla ya kumuaga rasmi kufuatia kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa kumjibu wa Sheria.
 Baadhi ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi ambao walijitokeza kwa wingi katika hafla fupi iliyofana sana ya kumuaga rasmi IGP Mstaafu kufuatia kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa mujibu wa Sheria. Sherehe hizo zimefanyikia katika Viwanja vya Polisi Barrack Jijini Dar es Salaam.Picha Kwa Hisani ya Michuzi Blog

No comments:

Powered by Blogger.