IGP MSTAAFU SAID MWEMA AAGWA RASMI POLISI BARRACKS, LEO JIJINI DAR

IGP
Mstaafu, Said Mwema akipokea Salaam ya heshima na utii iliyotolewa na
Gwaride Maalum lililoandaliwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la
Polisi(hawapo pichani) katika hafla fupi ya kumuaga rasmi kufuatia
kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa kumjibu wa Sheria. Hafla
hiyo imefanyika leo Februari 15, 2014 katika Viwanja vya Polisi barracks
Jijini Dar es Salaam.

IGP
Mstaafu, Said Mwema akikagua Gwaride Maalum alililoandaliwa na Maafisa
na Askari wa Jeshi la Polisi katika hafla ya kumuaga rasmi kufuatia
kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa kumjibu wa Sheria.

Baadhi
ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi ambao walijitokeza kwa wingi
katika hafla fupi iliyofana sana ya kumuaga rasmi IGP Mstaafu kufuatia
kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa mujibu wa Sheria. Sherehe
hizo zimefanyikia katika Viwanja vya Polisi Barrack Jijini Dar es
Salaam.Picha Kwa Hisani ya Michuzi Blog
No comments:
Post a Comment