Header Ads

NIMR YAENDELEA KUKUZA MATUMIZI YA MATOKEO YA TAFITI ZA AFYA

 Mkurugenzi Mkuu kutoka Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Dr. Julius Massaga akieleza kwa waandishi wa Habari jinsi wanavyoshirikiana na Taasisi za kimataifa katika kufanya tafiti mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa Malaria,wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Leo Jijini Dar es Salaam.Picha na Hassan Silayo-MAELEZO
Mtafiti Mkuu na Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano  kutoka Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Bw. Leonard Mboera(kulia) akieleza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu Mifumo mbalimbali ya utoaji taarifa za Tafiti zinazofanywa na Taasisi hiyo,wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Hbari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw. Frank Mvungi.  

No comments:

Powered by Blogger.