Header Ads

MWILI WA NDUGU YETU DANIEL AMBAKISYE KAMELE WAPUMZISHWA KWA AMANI LEO KATIKA MAKABURI YA TABATA SEGEREA

 
Gari likibeba mwili wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele mara baada ya kumaliza misa ya kuombea Mwili wa Marehemu ambaye alifariki kwa ugonjwa wa Malaria katika Hospitali ya Temeke juzi
 Gari lililokuwa limebeba mwili wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele likiwasili katika Makaburi ya tabata segerea Kwaajili ya kuupumzisha Mwili wa Marehemu Kwenye Nyumba yake ya Milele leo jioni katika Makaburi ya Tabata Segerea
 Ndugu, Jamaa na Marafiki wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele wakiwa wamebeba jeneza lenye Mwili wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele wakati lilipowasili kwenye Makaburi ya Tabata Segerea Jioni ya leo kwaajili ya kuupumzisha mwili wa marehemu Kwenye Nyumba yake ya Milele
 Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Daniel Ambakisye Kamele likipelekwa Katika Kaburi lake kwaajili ya Kuupumzisha Mwili wa Marehemu katika Nyumba yake ya Milele leo jioni katika makaburi ya Tabata Segerea.

No comments:

Powered by Blogger.