Header Ads

maadhimisho ya siku ya Baba wa Taifa katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma LEO.

 Kutoka kushoto (mstari wa mbele) ni Waziri wa Utumishi Mh.Celina Kombani,Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk.Rehema Nchimbi,Mstahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma Mh.Emmanuel Mwiliko na Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu wakiserebuka katika maadhimisho ya siku ya Baba wa Taifa katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.Wengine vi viongozi waandamizi serikalini walioalikwa kwenye maadhimisho hayo.

Mh.Balozi Job Lusinde akielezea misingi ya Mwalimu kwenye Maadhimisho ya Siku ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina Kombani akihutubia wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mwalimu Nyerere katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
 Kikundi cha Ngoma za Asili cha ‘Hiyari ya Moyo’ kikitoa burudani katika Maadhimisho ya Siku ya Kumuenzi Baba wa Taifa katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
 Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Dodoma wakijumuika pamoja kuadhimisha Siku ya Kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
 Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Dodoma wakijumuika pamoja kuadhimisha Siku ya Kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
 Baadhi ya Watumishi wa Umma na wakazi wa Mkoa wa Dodoma wakijumuika pamoja kuadhimisha Siku ya Kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma. 

No comments:

Powered by Blogger.