CRDB YATUMIA MILIONI 50 KUKARABATI WARD YA WAJAWAZITO HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA
|  | 
| Mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo akifungua pazia la bango la wadhamini katika hafla ya kukabidhi ward ya wajawazito Hospitali ya Rufaa Bugando Mwanza iliyokarabatiwa na CRDB Benki. | 
|  | 
| Pia CRDB imekabidhi mablanketi, vyandarua, vitanda na mashuka pamoja na mapazia ya kusitiri huduma maalum kwa ward ya wajawazito Bugando. | 
|  | 
| Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Ernest Mangu akishiriki utandikaji mashuka na blanketi katika ward ya wajawazito Hospitali ya Rufaa Bugando iliyokarabatiwa na CRDB Bank. | 
 


 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment