Header Ads

Boya la Mafuta la Single Point Mooring laongeza ufanisi Bandari

 Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Bi. Janeth Ruzangi(Kushoto) akieleza kwa waandishi wa Habari(hawapo pichani) kuhusu utendaji kkazi wa Boya la Mafuta la Single Point Mooring(SPM) lililopo Kigamboni ,Wakati wa Mkutano uliofanyika Ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Hassan Silayo.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mafuta kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Capt. Abdul Mwingamnoakieleza kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) ufanisi wa mradi wa SPM Ikiwa ni pamoja na kuhudumia meli kubwa zenye uwezo wa kubeba mzigo wa tani 150,000,Wakati wa Mkutano uliofanyika Ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Picha na Frank Mvungi- MAELEZO

No comments:

Powered by Blogger.