Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akipata
Maelezo Kuhusu Upakuwaji wa Makontena katika Bandari ya Zanzibar kwa
Mkuu wa Mipango{ZPC]Ali Haji Haji wakati wa Ziara yake yakutembelea
Miradi ya Maendeleo, Kulia Kaimu Mkurugenzi wa Bandari Bw Msanifu Haji
Mussa na Maofisa wa Bandari ya Zanzibar[Picha na Ali Meja]
Reviewed by
crispaseve
on
5:03 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment