Wanachadema
wakiwa nje ya mahakama leo mchana kusikiliza shauri la mbunge
wao.Habari tulizopata sasa hivi toka kwa Henry Kilewo(katibu wa BAVICHA
Kinondoni) ambaye yuko Arusha zinasema kuwa mamia ya watu wamekusanyika
na kubaki viwanja vya NMC wakidai hawatatoka hapo hadi mbunge wao
aachiliwe huru. Mwenyekiti wa Chadema,Mh Mbowe, Dkt.Slaa na Tundu Lisu
wapo pia usiku huu.Inasemekana Kamishna Chagonja anaongea na Lisu sasa
hivi kuona kama watu wanaweza kutawanyika. Picha/Habari Kwa Hisani ya
Mjengwablog
No comments:
Post a Comment