Header Ads

B-HITZ YAHAMIA KAWE


Studio yenye hit za ukweli hapa mjini B-Hitz kwa sasa imefungwa kwa muda baada ya CEO wake mtu mzima Hermy B kufanya kufuru kubwa za kujenga studio ya ukweli zaidi pande Kawe.
Hermy mbali ya kuihamishia B-Hitz Kawe pia amejenga kitu cha club maeneo hayo hayo. Kwa ufupi mradi wa B-Hitz umekuwa mkubwa na kwamba mashabiki wasubiri hit za kutosha soon after re-opening. Za chini ya kapeti pia zinadai B-Hitz itaongeza producer wawili wapya ili waje kumpa tafu Pancho Latino Mafia.

No comments:

Powered by Blogger.