Header Ads

NBC YAKABIDHI HUNDI KWA MFUKO SAWA KWA WOTE

 Mkuu wa Masoko na mawasiliano wa Benki ya NBC ,Mwinda Kiula-Mfugale (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi  ya shillingi milioni 18,200,000/- kwa  Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) Mama Anna Mkapa kwa ajili ya mafunzo ya wanawake wajasiriamali 250 yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam. Hafla ya makabidhiano ilifanyika katika ofisi za EOTF, Dar es Salaam jana.

No comments:

Powered by Blogger.